Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wadau wana JF. Hebu nijuzeni -- hivi ilr hoja ya "kichuguu na mlima" ilikuja kujibiwa tena na Profesa baada ya kutokea hali halisi? Sijafuatilia sana suala hili. Na jee lilikuwamo katika mdahalo wa HR na FM? Maana sikubahatika kuona mdahalo kwa sababu ya mgao wa umeme!