figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Heshima kwenu wakuu,
Kuna huyu mtoto ambaye anapendwa kutaniwa na kulishwa maneno kwenye picha yake sasa kakua.
Huyu ni mtoto wa huko Ghana, picha ya kwanza inayosambaa, alipigwa wakati alipienda kwa mara ya kwanza kwenye shule ya kujifunza kuchora kijijini kwao.
Hiyo picha ilisambaa dunia nzima ikionesha akiandika. Inasemekana ndiye alikuwa mdogo kwenye hilo Darasa. Ilipigwa 2015 kipindi hicho Jake akiwa na miaka minne.
Kuna huyu mtoto ambaye anapendwa kutaniwa na kulishwa maneno kwenye picha yake sasa kakua.
Huyu ni mtoto wa huko Ghana, picha ya kwanza inayosambaa, alipigwa wakati alipienda kwa mara ya kwanza kwenye shule ya kujifunza kuchora kijijini kwao.
Hiyo picha ilisambaa dunia nzima ikionesha akiandika. Inasemekana ndiye alikuwa mdogo kwenye hilo Darasa. Ilipigwa 2015 kipindi hicho Jake akiwa na miaka minne.