CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Kuna siku nilileta bandiko hapa la Mdada gradute kuuza uji watu kwa kifupi povu liliwatoka na wengi unakuta wako mtaani na wengine wanaishi kwa shemeji na wengine wamejiriwa wanakula Kilo 3 na nusu kwa mwezi.
Yule Dada mjasiria Uji, alifanikiwa kuandika proposal yake ambayo pia nilidaidiana naye na akampelekea Mtu fulani mwenye pesa zake zake. Baada ya kusoma Jamaa alivutiwa sana na idea na kukubali kuingiza pesa Milioni 50.
Kwa sasa Yule mdada anafungua kabisa hoteli na bado uji atauza ila kwa njia mpya na inayo vutia zaidi.Muda wowote akipata location nzuri kazi itaanza.
Na i hope atafika mbali sana na siku 1 atakuja kuajiri wale alio piga nao kitabu ambao still hadi leo wako mtaani wengine wanaishi kwa mashemeji na wengine kwao.
UJUMBE
Mara zote MUNGU husimama na watu jasiri palipo na uoga na aibu hapo Mungu hayupo bali palipo na ujasiri basi Mungu yupo.
Tuache kukalili maisha kwamba Gradute kuuza mihogo au mchicha unajidharirisha. Huji malengo yake, hujui target yake, hujui Ameplani vipi, Bujui end point yake ni ipo so ni vizuri kukaa kimya na kuangalia maisha yako wewe.
NB: Kuna watu wana pesa ila hawana mawazo na pesa ziko tu benki, Siku moja nitaelezea story moja inayo fanana kwa kiasi fulani na hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule Dada mjasiria Uji, alifanikiwa kuandika proposal yake ambayo pia nilidaidiana naye na akampelekea Mtu fulani mwenye pesa zake zake. Baada ya kusoma Jamaa alivutiwa sana na idea na kukubali kuingiza pesa Milioni 50.
Kwa sasa Yule mdada anafungua kabisa hoteli na bado uji atauza ila kwa njia mpya na inayo vutia zaidi.Muda wowote akipata location nzuri kazi itaanza.
Na i hope atafika mbali sana na siku 1 atakuja kuajiri wale alio piga nao kitabu ambao still hadi leo wako mtaani wengine wanaishi kwa mashemeji na wengine kwao.
UJUMBE
Mara zote MUNGU husimama na watu jasiri palipo na uoga na aibu hapo Mungu hayupo bali palipo na ujasiri basi Mungu yupo.
Tuache kukalili maisha kwamba Gradute kuuza mihogo au mchicha unajidharirisha. Huji malengo yake, hujui target yake, hujui Ameplani vipi, Bujui end point yake ni ipo so ni vizuri kukaa kimya na kuangalia maisha yako wewe.
NB: Kuna watu wana pesa ila hawana mawazo na pesa ziko tu benki, Siku moja nitaelezea story moja inayo fanana kwa kiasi fulani na hii.
Sent using Jamii Forums mobile app