kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,075
- 10,356
Mchezaji Bora wa muda wote wa Africa Samuel Eto's ametangaza kutundika daluga huku akiwa na miaka 38 ,huyu jamaa pamoja na Rodaldinho walinifanya nimtoroke mchumba wangu usiku ,wakati mwingine hata vipindi vya dini siendi kisa tu mpira ,aisee hapana chezea etooooooo