Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
Ninakubaliana na mtoa mada kabisa according CRIME INVESTIGATION first suspect ni aliyemuokota lakini kwa tanzania ni tofauti porojo nyingi ndioa sababu nilitoa mfano huu hapa sikuile,KANUMBA -the first suspect wa kifo cha kanumba alitakiwa kuwa Lulu and the second ni mdogo wake kanumba kwasababu all of them line under the police line of investigation alikuwepo wakati wa tukio hil inasemekana ilisikika sauti ya kiume kwa muda kama ugomvi ndani kwa kanumba na alikuwa anaishi na mdogo wake tu je ninani huyo? Inteligensia yetu inaishia mabwepande tu!!!!!!!,na yulewa kwanza kufika pia anahusika/mtoa taarifa .mfano mwingine Mtambuzi alitoa kisa cha yule mchungaji aliyewaua AJUZA wawili aliyetoa taarifa ni muuaji ilipochunguzwa aligundulika ni yeye aliyewaua so nakubaliana na mtoa mada huyo mtu angechunguzwa pia.
Last edited by a moderator: