General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Hakika wenzetu hupewa elimu ya kujiajiri, elimu bora.
Kijana Mtanzania Benjamini anaemiliki kampuni ya Financial transaction NALA, imeshinda Dola za kimarekani 150,000 katika mashindano ya App duniani.
Benjamini alisoma MBA Stanford University, marekani aakimaliza akiwa na miaka 25.
Wengi tulimwona kama kachanganyikiwa baada ya kukataa ajira huko Marekani na kuja bongo.
Mnaosema vyuma vimekaza, wenzenu wanalegeza. Exposure inasaidia sana.
Hakuna kinachoshindikana
Kijana Mtanzania Benjamini anaemiliki kampuni ya Financial transaction NALA, imeshinda Dola za kimarekani 150,000 katika mashindano ya App duniani.
Benjamini alisoma MBA Stanford University, marekani aakimaliza akiwa na miaka 25.
Wengi tulimwona kama kachanganyikiwa baada ya kukataa ajira huko Marekani na kuja bongo.
Mnaosema vyuma vimekaza, wenzenu wanalegeza. Exposure inasaidia sana.
Hakuna kinachoshindikana