Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,606
- 20,342
amepatwa na upinzaniYupo Mlongazila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amepatwa na upinzaniYupo Mlongazila
Halafu?Tumieni akili kuongoza watu na siyo hisia
Piga WAPO Radio utamkuta MEZA YA BUSARA.Kuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k
Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?
Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?
Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Hichi ni kimeru?Piga WAPO Radio utamkuta MEZA YA BUSARA.
Mungu hadhihakiwi, Mungu yupohapa,Kuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k
Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?
Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?
Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Ataongea WAPO Radio kipindi cha Meza ya Busara.Hichi ni kimeru?
Kuna mmoja au kikundi chao eti wanataka kugawa barakoa kwa wanachama wao tuu
Jr
Basi nilikuelewa vibaya..kiswahili ni kigumu!Ataongea WAPO Radio kipindi cha Meza ya Busara.
Subirini ulaji tu sasa mana hadi kazi mnaandaliwa mazingira rafiki!Huku tulipo wameshachukua majina, nambari za kadi za wanachama na kitambulisho cha Nida ila hawakusema wanataka kufanya nini, na ndoo za kugawia wameanza kutoa. Ila hawa jamaa Mungu anawaona, wamezindua kiwanda Iringa kwa siku kinatengeneza barakoa 500 huu si ungese?????
Wamepita nyumba kwa nyumba
Na wewe pia ujibarakoe ili usifanyiwe ubarakoajiYupo anajibarakoa
Yule atakufa siku sio nyingiKuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k
Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?
Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?
Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Shindwa pepo!
Mama samia, kangi lugola, jafo, jenita muhagama, kairuk, general mabeyo hawa watu wapo wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno huumba. Tafakari kabla hujatamka sasa hivi wapinzani wanawapukutisha wanachama wa chama chetu mahiri.. Wawe makini isije kuwa mpaka uchaguzi mwendo ni huu huuKuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k
Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?
Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?
Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Na maana halisi ya corona inaonekana..Maneno huumba. Tafakari kabla hujatamka sasa hivi wapinzani wanawapukutisha wanachama wa chama chetu mahiri.. Wawe makini isije kuwa mpaka uchaguzi mwendo ni huu huu
Jr
Lugha gani hii?Yeye mwenyewe yanagobga kapyula muda wowote akipata coona ndio nitolee