Yule aliyesema wapinzani ni sawa na Corona, yupo wapi siku hizi?

Kuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k

Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?

Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?

Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Piga WAPO Radio utamkuta MEZA YA BUSARA.
 
Kuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k

Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?

Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?

Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Mungu hadhihakiwi, Mungu yupohapa,
Waliodhihaki watapadhihaka,watalia, wenzao ambao siyo corona watapukitika kwa kuwa wamekeji. Watalia watamtafuta wamsihi kukuri ubaya wao, watamkosa, watalia. Aliyemdhihaki Mungu hajawahi kusamehewa, malaika walimpiga, walimpofusha,kwa kiburi mama akalewa kiburi.
 
Kuna mmoja au kikundi chao eti wanataka kugawa barakoa kwa wanachama wao tuu

Jr

Huku tulipo wameshachukua majina, nambari za kadi za wanachama na kitambulisho cha Nida ila hawakusema wanataka kufanya nini, na ndoo za kugawia wameanza kutoa. Ila hawa jamaa Mungu anawaona, wamezindua kiwanda Iringa kwa siku kinatengeneza barakoa 500 huu si ungese?????

Wamepita nyumba kwa nyumba
 
Huku tulipo wameshachukua majina, nambari za kadi za wanachama na kitambulisho cha Nida ila hawakusema wanataka kufanya nini, na ndoo za kugawia wameanza kutoa. Ila hawa jamaa Mungu anawaona, wamezindua kiwanda Iringa kwa siku kinatengeneza barakoa 500 huu si ungese?????

Wamepita nyumba kwa nyumba
Subirini ulaji tu sasa mana hadi kazi mnaandaliwa mazingira rafiki!
 
Kuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k

Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?

Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?

Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Yule atakufa siku sio nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k

Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?

Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?

Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Maneno huumba. Tafakari kabla hujatamka sasa hivi wapinzani wanawapukutisha wanachama wa chama chetu mahiri.. Wawe makini isije kuwa mpaka uchaguzi mwendo ni huu huu

Jr
 
Maneno huumba. Tafakari kabla hujatamka sasa hivi wapinzani wanawapukutisha wanachama wa chama chetu mahiri.. Wawe makini isije kuwa mpaka uchaguzi mwendo ni huu huu

Jr
Na maana halisi ya corona inaonekana..
Otherwise tuzid tuchukua hatua kila mmoja kutegemeana na mazingira yake
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom