Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,309
- 5,537
Hayo mambo wa ccm hawana. Wanaamini kwenye matumizi ya mtutu kila konaVita vya Corona sio lelemama au simulation, inataka busara,umakini,ujasiri,uvumilivu na upeo.
Acha kubinya pua wewe.Ewe n khabbiithilamal...
Serikali ya ccm na viongozi wa ccm wamejilockdown halafu wamewatelekeza watanzania wateketee law corona.Kuna mtu sijui ni nani ambaye aliwafananisha wapinzani ni sawa na corona.
Tanzania tuna vyama vyingi, maana yake ni kwamba mpinzani wa CUF anaweza kua NCCR-mageuzi, CCM mpinzani wake anaweza kua TLP n.k
Huyu aliefananisha mpinzani na corona yuko wapi mbona kaikimbia huku mjini?
Kwanini watu wanapenda kujichimbia hivi?
Ni dhahiri kua hakujua corona ni nini hadi aite mpinzani hivyo?
Sifa za corona ziko nyingi, je kuita wapinzani ni corona ndiko kunakowaua wao?
Nchi ina viongozi wa ajabu sana..unakimbiaje wananchi wanaokupa ofisi?
Kwa kilichotokea mwaka huu na miaka mingine kila mtanzania ataelewa thamani ya kura ni nini!Serikali ya ccm na viongozi wa ccm wamejilockdown halafu wamewatelekeza watanzania wateketee law corona.
huyu aliyetuletea hili genge la kigaidi sijui alifikri nini ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kubinya pua wewe.
Anza kuchojoa, nakuja nikushughulikie hadi uishe kuwashwa washwa.Ww chakubimbi na.wake watatu kama unataka kuwa wa 4 na vgezo unavyo ucjal...
Anza kuchojoa, nakuja nikushughulikie hadi uishe kuwashwa washwa.
Anza kuchojoa, nakuja nikushughulikie hadi uishe kuwashwa washwa.Chakubimbi...
Anza kuchojoa, nakuja nikushughulikie hadi uishe kuwashwa washwa.
Anza kuchojoa, nakuja nikushughulikie hadi uishe kuwashwa washwa.Yaah ahmaku waanti minassaaafihiina...
kweli mkuuYaaaaaani siyo siri natamani augue halafu akienda kwenye ventilator yule mtaalam amwambie "nakutibu lakini mimi ni mpinzani, siyo chama tawala"
Then apone na kurudi ofisini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenezi akili iko lumumba2Kwa ile hali ya kiafya ya mwenezi, ni lazima ujichimbie ndani hata kama sio Chato.
Hii inaakisi hadi wanaokuongozaAnza kuchojoa, nakuja nikushughulikie hadi uishe kuwashwa washwa.
Always failures...... Awamu hii ndio funga kazi maana wameharibu hata kidogo kilichokuwepoWanatumia kivuli cha sera za upinzani kuongoza dola na bahati mbaya bado wameshindwa
Kwa hiyo nikusaidieje, kwa mfano?Hii inaakisi hadi wanaokuongoza
Tatizo inaweza kua ni nnkambwa ka mayai hata kakila farasi mzima hakapandi afya
Tumieni akili kuongoza watu na siyo hisiaKwa hiyo nikusaidieje, kwa mfano?