Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

:D :D :D :DDaah ila mwanamke akikupenda amekupenda mimi wengi sana walishanipenda ila kuna mhaya alinipenda sana lakini nikaishia kumtenda hadi leo najihukumu sanaa...
Mtafute muombe msamaha.
Ni ujana na mapito.
Mimi kuna binti mke wa mtu sasa namtafuta nimuombe msamaha hakika nilimuumiza sababu ya upumbavu wa ujana.
 
kama huwezi juan huyu mwanamke ananipenda na huyu tunazugana tu bhasi una safari ndefu ya maishaaa
Aah aah aah ....

Maana mi km woote wananisikiliza, wananipea nikitaka, hawaombi pesa, wanacatch feeling kwa chochote baina yetu au yangu kibaya au kizuuri.....


Ila bado ujinga ukafanyika km kawaida... Wakaepa wengine nikaepa mimi...

Ndio maana nauliza kupendwa mnajuaje
 
Habarini ndugu zangu, hongereni na poleni kwa majukumu yetu ya kila siku.

Bila kupoteza muda, katika maisha kuna kipindi tunajikuta tunapendwa na wenzetu wa jinsia tofauti, hivyo wanatumia approaches mbalimbali kuweza kutupata. Lakini, yote ya yote tunaishia kuwachomolea mbali kwa sababu ambazo zinaweza kuwa ni kuwa kwenye mahusiano kwa wakati huo, kutokuwa tayari kuwa kwenye mahusiano, KUTOKUKUBALIWA tu jinsi ulivyo etc.

Je, yule mtu aliyekuwa anakusumbua kwa wakati huo anakupenda na anahitaji uwe mpenzi wake yukowapi/ alienda wapi, je bado anafanya attempts hadi sasa au ndo kila lenye marefu na mapana halikosi ncha.

Kwa upande wangu,
Wa kwanza,
Miezi kadhaa nilitokea kupendwa na mdada ambaye tulikuwa tukisoma chuo kimoja, mie nlimchukulia kama rafiki lakini ye kwangu aliniona ni zaidi ya rafiki, kwakuwa sikutaka kumuumiza ilibidi nimuambie nina mke na mtoto hivyo acheki ustaarabu sehemu nyingine.

Mwishowe, kutokana na kumkataa kinamna hiyo akafuta namba yangu since then hakuna chocho yeyote ya chuoni ambayo nlikuja kumuona, since mwezi wa tano hadi namaliza muhula wa pili sikuwahi ing`aza sura yake popote wakati ilikuwa ni mara nyingi tunakutana cafeteria na madarasani.

Wa pili,
Huyu alikuwa ni muuza chispi mtaani kwetu, alikuwa akija kuomba chenji dukani kwetu, namba yangu nliichukua kimasihara tu tukawa tukiwasiliana siku hadi siku, mwishowe akaanza leta nyeusi ,tukashindwana anakanipiga chini mazima, tangu mwaka jana mwezi wa kumi na moja sijawahi kumuona na pale kijiweni kwake hayupo na sms zangu huwa hazifiki.

Wa tatu,
Huyu alikuwa anaitwa Mary, mdada mpole black beauty wa Mbeya, tulikutana advance minikiwa darasa moja mbele yake. Tulifamiana kupitia UKWATA nikiwa mdau mzuri wa maombi na tukaja soma wote tena Central Zone Chuo, alikuja kuanza kuleta habari za kwenda kutambulishana kwetu na kugandana gandana kama kupe. Akaja nipiga chini 2019 February majira ya saa 6 na madakika usiku. Hadi leo sijui yukowapi na sijawahi kumuona tena.

JE, uko tayari kumpa chance kama akija na kutaka aendelee alipoishia????

NB:
Hizo ni baadhi tu nami kuna ambao niliwataka na kufanya kila mbinu ila sijawahi kuwa nao.
Nimetumia lugha isio rasmi kwa wale walimu wa viswahili mtaniwia radhi.

TUPIGE KAZI, TUTAFUTE PESA!!!!!!
Yupo huko kwa apostle bm maziwa anatumikishwa kama punda
 
Habarini ndugu zangu, hongereni na poleni kwa majukumu yetu ya kila siku.

Bila kupoteza muda, katika maisha kuna kipindi tunajikuta tunapendwa na wenzetu wa jinsia tofauti, hivyo wanatumia approaches mbalimbali kuweza kutupata. Lakini, yote ya yote tunaishia kuwachomolea mbali kwa sababu ambazo zinaweza kuwa ni kuwa kwenye mahusiano kwa wakati huo, kutokuwa tayari kuwa kwenye mahusiano, KUTOKUKUBALIWA tu jinsi ulivyo etc.

Je, yule mtu aliyekuwa anakusumbua kwa wakati huo anakupenda na anahitaji uwe mpenzi wake yukowapi/ alienda wapi, je bado anafanya attempts hadi sasa au ndo kila lenye marefu na mapana halikosi ncha.

Kwa upande wangu,
Wa kwanza,
Miezi kadhaa nilitokea kupendwa na mdada ambaye tulikuwa tukisoma chuo kimoja, mie nlimchukulia kama rafiki lakini ye kwangu aliniona ni zaidi ya rafiki, kwakuwa sikutaka kumuumiza ilibidi nimuambie nina mke na mtoto hivyo acheki ustaarabu sehemu nyingine.

Mwishowe, kutokana na kumkataa kinamna hiyo akafuta namba yangu since then hakuna chocho yeyote ya chuoni ambayo nlikuja kumuona, since mwezi wa tano hadi namaliza muhula wa pili sikuwahi ing`aza sura yake popote wakati ilikuwa ni mara nyingi tunakutana cafeteria na madarasani.

Wa pili,
Huyu alikuwa ni muuza chispi mtaani kwetu, alikuwa akija kuomba chenji dukani kwetu, namba yangu nliichukua kimasihara tu tukawa tukiwasiliana siku hadi siku, mwishowe akaanza leta nyeusi ,tukashindwana anakanipiga chini mazima, tangu mwaka jana mwezi wa kumi na moja sijawahi kumuona na pale kijiweni kwake hayupo na sms zangu huwa hazifiki.

Wa tatu,
Huyu alikuwa anaitwa Mary, mdada mpole black beauty wa Mbeya, tulikutana advance minikiwa darasa moja mbele yake. Tulifamiana kupitia UKWATA nikiwa mdau mzuri wa maombi na tukaja soma wote tena Central Zone Chuo, alikuja kuanza kuleta habari za kwenda kutambulishana kwetu na kugandana gandana kama kupe. Akaja nipiga chini 2019 February majira ya saa 6 na madakika usiku. Hadi leo sijui yukowapi na sijawahi kumuona tena.

JE, uko tayari kumpa chance kama akija na kutaka aendelee alipoishia????

NB:
Hizo ni baadhi tu nami kuna ambao niliwataka na kufanya kila mbinu ila sijawahi kuwa nao.
Nimetumia lugha isio rasmi kwa wale walimu wa viswahili mtaniwia radhi.

TUPIGE KAZI, TUTAFUTE PESA!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom