elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
- Thread starter
- #41
Ngoja nitakutafuta, na Barozi je?Sijui bwana huyu yuko wapi..
Lakini mwezi March aliachia kibao chake kilichokwenda kwa jina la UCHU kamshirikisha Dully...kipo vyema sana.
Nyakati zimebadilika lakini wakishtua shtua mara moja vibao hawa wakongwe sio mbaya.