mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,799
- 105,941
😂😂😂😂😂😂😂Amesha 'wambwa' now anashukuru
Hawezi Kurudi CoET maana aliondoka akiwa Lecturer tu bora hata angekuwa Profesa wangempokeaYupo CoET anafundisha.
Amesha 'wambwa' now anashukuru
Alikuwa ni waziri wa elimu kipindi cha JK .simsikii siku hizi anayejua anifahamishe yuko wapiView attachment 1548385
Hawezi Kurudi CoET maana aliondoka akiwa Lecturer tu bora hata angekuwa Profesa wangempokea
ni vyema kujua viongozi wetu waliotupelek hatua kadhaa kimaendeleo wapo wap na wanafanya nnUnamtakia nini?
Kamuulizie nyumbani kwake Bagamoyo.
Huna kitu kingine cha maana cha kufikiri?
sio mbaya lakini nimejua kuwa ni mwenyeji wa BagamoyoUnamtakia nini?
Kamuulizie nyumbani kwake Bagamoyo.
Huna kitu kingine cha maana cha kufikiri?
mkadage au?Kilosa, analima vitunguu,,
Pesa 'alizochuma' Kipindi alichokuwa 'Madarakani' kwa Msaada mkubwa wa Ndugu yake aliyekuwa 'Rais' zinamtosha Kula hadi 'Kristo' atakapokuja.
OkAlikuwa ni waziri wa elimu kipindi cha JK .simsikii siku hizi anayejua anifahamishe yuko wapiView attachment 1548385