Yuko wapi Shukuru Kawambwa?

Pesa 'alizochuma' Kipindi alichokuwa 'Madarakani' kwa Msaada mkubwa wa Ndugu yake aliyekuwa 'Rais' zinamtosha Kula hadi 'Kristo' atakapokuja.

Huyu na wamama flani hivi walibebwaga sana, bahati mbaya mbeleko imekuwa kuukuu sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom