Status
Not open for further replies.
Wakanushe nini? We hizi tetesi umezitoa wapi? Utakanusha mangapi? Msigwa yeye kazi yake itakuwa kukanusha tu? Hana kazi nyingine?
Huna hoja.

SIKIA, HAYA MAGAZETI NA VYOMBO VYA HABARI VYA NJE WANA KOSA MOJA, HAWATUESHIMU, HUWEZI KUANDIKA MAMBO YA NDANI YA NCHI NYINGINE IWAPO NCHI HIYO HAIPO TAYARI KUYAWEKA WAZI KWA SABABU MAALUM, HILO TU NDIO KOSA LAO. HAWAJAONYESHA HESHIMA KWA TZ.

Ukweli ni kuwa Yanayoendelea yanastahili kutolewa maelezo au kukanushwa sababu yanaandikwa nje na vyombo vya habari vinavyoaminika huko nje.

BBC, Al jazeer, Bloomberg n.k japo source yao ni TL ila inapaswa kukanushwa kama kuna la kukanusha, kimya maana yake tatizo lipo, kama uzushi uliofikia hicho kiwango kwako si tatizo basi ww binafsi huna uelewa wa madhara ya propaganda baina ya nchi na nchi.

TUENDELÈE KUIOMBEA NCHI NA VIONGOZI WETU.
 
Kama uliambiwa kuhusu kuugua kwa JN, JK & Mkapa, halafu sasa unaona kimya, ndipo uamini ni uzushi kama uzushi mwingine. Halafu, unasema si kawaida yake kutoonekana kwa muda mrefu. Naona sasa unaishi kimazoea na kwa kukariri maisha. Pole sana. JPM is alive & well!!! Pls mark my words!!!
Nani alikutangazia kuwa Mkapa ni Anaumwa ....!!? This is a different era Bro!

Ukiona Reuters wameandika hizo tetezi ujue kuna kitu nyuma ya pazia.
 
As nilivyostate, si tabia nzuri kumzushia kiongozi kifo. And i am not the fan of it. So stop kuniita mbea, or kuni include kwenye kundi lolote lile.

Pili naona umeandika siasa tu, hate za kiproganda. And based of data zako umetoa twitter, do you think twitter inatoa taswira ya nchi nzima?

80% wanamuombea twitter based on what statistics? au umesoma comment za baadhi ya watu huko ukadhani ni wote wanamuombea?

Ukiwa kiongozi siku zote utavuna unacho input kwenye jamii. uki plant hate, utavuna hate na uki plant upendo utavuna upendo. Not otherwise.
 
Mh yaani mtu aumwe corona apelekwe India? Devil is a lie.
Kwa mtu hadhi ya Rais, inawezekana. Kumbuka pia kuwa mtu kushambuliwa na virus wa corona haina maana kuwa ndivyo vitakavyomuua.

Corona virus ni "accelerator" tu wa maradhi shambulizi mengine ya uhai wa mtu. Ndiyo maana tunaambiwa na wataalamu wa afya kuwa kirusi huyu ana madhara ya haraka sana kwa watu wenye kinga dhaifu miilini mwao kwa mfano: wazee, wagonjwa wa kisukari, HIV/AIDS, pumu, TB n.k.

Kwahiyo (kama ni kweli yanayosemwa), likely kilichomfanya apelekwe nje ya nchi kwa matibabu zaidi inaweza kuwa ni zaidi ya corona. Inawezekana ni combination ya matatizo mengi ya afya yake.
 
Hakuna kwenda nje kutibiwa,
Hakuna Corona kinachoumiza watu ni hofu tu....usiwe na hofu chapa kazi kwenda mbele

☝️ Msemaji huyo saivi nae ana hofu anatibiwa nje ya nchi.

Tuamini lipi sasa
 
Pages zote nime pitia nikijua nitakutana na jibu la alipo Mheshimiwa, ngoja niendelee kumtafuta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom