Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,426
ngoma kadhaa za Barnaba, Kuna Ile 'nivute kwako' sijui kaimba nan
Dayna Nyange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoma kadhaa za Barnaba, Kuna Ile 'nivute kwako' sijui kaimba nan
weee acha Zest huyu huyu wa "SUKARI"?Maproducer wana hali mbaya, Zesti sasa hivi pamoja na hiti zote alizo myengenezea Aslay karibia 14,ila sasa hivi ukimnunulia mzinga mkubwa wa Konyagi ana kunyongea biti. C9 kapiga chini maswala ya uproducer sasa hivi kafungua banda anauza mitumba. Huyo S2kizzy sasa sababu wa moto baada ya miaka miwili anarudi kwenye msoto.
Halafu wasanii kila siku wanalalamika wanaibiwa ila wanasahau wao wana waibia sana maproducer na kuwakatisha tamaa.
Wee njoo Tabata karibia na Tabata Reminant Primary Schoo ukifika uulizia studio ya Zest watakupeleka.weee acha Zest huyu huyu wa "SUKARI"?
Shukrani kiongozWee njoo Tabata karibia na Tabata Reminant Primary Schoo ukifika uulizia studio ya Zest watakupeleka.