Inaelezwa kwamba Pamoja na hayati luten mstaafu Zacharia Hans pope na wengine, kulikuwa na commando mmoja aliyeshiriki jaribio la mapinduzi lakin hakukamatwa alotoroka. Anaenda kwa jina la Pius Lugangila. Wenzake walikamatwa lakin yeye alitokomea. Yuko wapi huyu kamanda?