Yuko wapi Peter Lijualikali aliyekuwa Mbunge wa Kilombero?

Yuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.

Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.

Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono Hayati Magufuli.

View attachment 1776096
Huyu pimbi alikuwa hajui hata miwani inavaliwaje.

2765430_BAVICHA_amp_CHASO_on_Instagram_Enzi_hizo_Lijuakali_hapajui_mjini._0A0ALeo_anamtukana_M...jpg
 
Chizi huyu yupo hapa ifakara anazungukazunguka tu na kanzu. Magu alimuahidi uDC awamu ya pili sasa kafa nae hana chake kaishis kumuoa binti wa ndungae tu halafu nani alikwambua huyu ji mwanasheria? Labda bush lawyer.
Kunywa na soda braza,huyu Bush lawyer
 
Huyu bwege aliokotwa majalalani na Mbowe,kisha akamsaliti na kumzushia vitu vya uongo,Mungu yupo,acha avune alichopanda
 
Yuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.

Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.

Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono yupo dodlma
Yuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.

Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.

Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono Hayati Magufuli.

View attachment 1776096
Yupo Dodoma
 
Back
Top Bottom