Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 258
- 233
Kwishney pamoja na machozi mamba yake!Yuko wapi mbunge kijana, Machachari, Mpambanaji, Mwanasheri kitaaluma.
Ambaye alikuwa mbunge wa Morogoro kwa tiketi ya CHADEMA.
Aliwahi kusema ni heri awe bodaboda kuliko kuendelea kutomuunga Mkono Hayati Magufuli.
View attachment 1776096