babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,071
- 15,929
Huyu kijana mzee sijamsikia kitambo
Sana, ni moja ya magentleman wa mjini wenye hela bila kelele toka enzi hizo.
Kabla hata Freeman hajaingia kwenye siasa huyu ni mshkaji wamedance wote.
Ashamiliki bendi,bureau de change vituo vya mafuta kibao, bila kusahau night clubs na bar.
Style ya kuhonga vitara mkubwa huyu ilikua kiulaini kimyakimya wadada wakazikoga sana,
Lyumba labda alikua kwao kijijini huko anajifunza kupiga dili.
Yuko wapi huyu humble brother asiye na fujo nyingi mdomoni ila utaitikia naam akifanya mambo.
Hakuna kelele Hakuna fujo hapa tumeweka kambi.
Brother Mziwanda popote ulipo kuna mfano mabosi wa kibongo waige toka kwako.
Salamu zikufikie
Sana, ni moja ya magentleman wa mjini wenye hela bila kelele toka enzi hizo.
Kabla hata Freeman hajaingia kwenye siasa huyu ni mshkaji wamedance wote.
Ashamiliki bendi,bureau de change vituo vya mafuta kibao, bila kusahau night clubs na bar.
Style ya kuhonga vitara mkubwa huyu ilikua kiulaini kimyakimya wadada wakazikoga sana,
Lyumba labda alikua kwao kijijini huko anajifunza kupiga dili.
Yuko wapi huyu humble brother asiye na fujo nyingi mdomoni ila utaitikia naam akifanya mambo.
Hakuna kelele Hakuna fujo hapa tumeweka kambi.
Brother Mziwanda popote ulipo kuna mfano mabosi wa kibongo waige toka kwako.
Salamu zikufikie