Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Kabla uchaguzi mkuu mwaka 2015 Katibu Mkuu wa CCM Abdrahman Kinana alifanya ziara ya kuzunguka nchi nzima kuona kero za wananchi.
Kuna umuhimu sana kwa Katibu huyo wa CCM kufanya ziara nyingine ili atathimini mwaka mmoja wa serikali ya awamu ya tano madarakani.
Hii itampa hali halisi ya nchi chini ya utawala serikali ya CCM.
Kuna umuhimu sana kwa Katibu huyo wa CCM kufanya ziara nyingine ili atathimini mwaka mmoja wa serikali ya awamu ya tano madarakani.
Hii itampa hali halisi ya nchi chini ya utawala serikali ya CCM.