Yuko Wapi Mzee Wa Research (redet-mukandala)

May 16, 2008
74
7
Huyu bwana alikua mstari wa mbele sana katika kumtengenezea muungwana njia ya kuelekea ikulu na tafiti zake zilizokuwa zimejaa uzushi. Sasa najiuliza kipindi hiki ambacho muungwana anamhitaji ze most huyu jamaa hajitokezi tena kumsafishia njia. Maswali ya kujiuliza ni je Mukandala

  • Ameshaona JK habebeki tena
    Yupo bize na uchaguzi wa DARUSO
    Au hata yeye ameshapoteza nguvu yake ya ushawishi
 
souljaboy.jpg


Mkandala ni ONE HIT wonder kama huyu jamaa hapo juu

hana jipya
 
mimi naona na yeye tumfanyie reserch kama anakubalika pale chuo kikuu UDSM kwani inasadikika jamaa pale hakubaliki hata kidogo.....kwa hiyo ni mda muafaka wa kumfanyia naye research kwa kupitia wanachuo na wafanyakazi wote wa pale chuoni.
Alikuwa anamsafishia JK njia alijua naye atakwaa UBUNGE wa kuteuliwa kisha ale kitengo cha uwaziri lakini sio mbaya tunavyo mfahamu JK kwa kuwalinda washikaji zake huyu jamaa anaweza akala neema miaka ijayo subirini.
 
Alikuwa anamsafishia JK njia alijua naye atakwaa UBUNGE wa kuteuliwa kisha ale kitengo cha uwaziri lakini sio mbaya tunavyo mfahamu JK kwa kuwalinda washikaji zake huyu jamaa anaweza akala neema miaka ijayo subirini.

Hamna jamaa kampoza na u-VC pale UDSM
 
Hamna jamaa kampoza na u-VC pale UDSM

Na kwa wale waliofuatilia matumizi ya pesa za chuo kikuu watakubaliana nami kuwa U-VC ni moja ya posts zenye ulaji mkubwa kabisa Tanzania. Mukandala ameshapata alichotafuta na sasa anaendeleza udikiteta baada ya kupata ufisadi (nafasi ya U-VC).
 
Siku hizi amejivika kazi ya kiupolisi kuwalia mingo 'wala jani' pale UDSM. Nasikia kazi anaiweza hiyo kiasi najiuliza anajuaje huyu kavuta na yule hajavuta kama yeye siyo kungwi wa moshi??
 
mimi naona na yeye tumfanyie reserch kama anakubalika pale chuo kikuu UDSM kwani inasadikika jamaa pale hakubaliki hata kidogo.....kwa hiyo ni mda muafaka wa kumfanyia naye research kwa kupitia wanachuo na wafanyakazi wote wa pale chuoni.
Alikuwa anamsafishia JK njia alijua naye atakwaa UBUNGE wa kuteuliwa kisha ale kitengo cha uwaziri lakini sio mbaya tunavyo mfahamu JK kwa kuwalinda washikaji zake huyu jamaa anaweza akala neema miaka ijayo subirini.

hiyo research haitakuwa na tofauti na zile za redet, hilo fungu ambalo ungetumia katika research hiyo kalitumie kuresearch for chanjo ya ukimwi, au suluhu ya tatizo jingine la jamii.
 
Mukandara yupo, anapiga huku (UDSM) na huku (REDET). Kwa sasa wako pamoja wanaandaa dodoso (questionnaire) jingine la kumfagilia Mkuu kabla ya mwaka huu kuisha!
 
.....ni upotezaji muda kukamata wala jani ...hana kazi ya kufanya..jani ni kama gongo tu ,ni viamcho vya asili tumekuwa tukivitumia miaka nenda rudi bila kuona madhambi kama ya vijana wa leo....jani kule iringa ni mboga...na mikoa mingine wazee huvuta na kiko wakichanganya na tumbaku..tatizo la jani ni pale unapolila bila kunuia ...yaani ni hatari sana kama jobless anakamata jani...lakini kama unanuia shamba,kukesha ukisoma,au kwenye mazingira magumu ie vitani...huwa poa..

jani ni tafauti sana na pukutisho la jamii ya leo COCAINE..hii ni KIFO...anayevuta hii hata kama ni mkulima atalegea,kama ni mwanafunzi atakuwa lost,na kama ni mfanyabiashara ..atafilisika kabisa...hili ndio tatizo la kupambana nalo sana ..wenyewe wanasema unga ni shetani la kihindi...bora huyu mukandara akazuia lisiwaingie wasomi wetu!!!!

kuhusu REDET ...nadhani anangojea mwaka 2009 ...atakuja na kura nyingine za maoni kusema kuwa jk mwaka 2010 atashinda kwa asilimia 75%...ili kuhalalisha wizi wa kura kwa ushindi wa asilimia 75%^ mwaka 2010!!!!
 
Back
Top Bottom