Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,799
- 8,778
Hii nchi kama tumerogwa kila kiongozi anakuja na vibweka vyake. Yu wapi yule mwekezaji wa kutoka USA kuja kutandika mataruma ya reli ya kisasa.
Mwakyembe akapewa na saaZilikua siasa zile
Mkuu zile zilikuwa chai tu za kijiweni kufurahisha gengeHii nchi kama tumerogwa kila kiongozi anakuja na vibweka vyake. Yu wapi yule mwekezaji wa kutoka USA kuja kutandika mataruma ya reli ya kisasa.
Sijui anafanya nini na degree zake?Wewe darasa la 7 utaniambia nini mimi mwenye digrii 4 ? labda uniambie mfuko wako hauna hela ili nikusaidie - Mwakyembe
Yupo benchi pale muhimbili kwenye vile vyeo vya wenyeviti!.Sijui anafanya nini na degree zake?
Atakuwa yuko US. Aliletwa enzi zile wanaenda kutafuta wawekezaji nje kila weekHii nchi kama tumerogwa kila kiongozi anakuja na vibweka vyake. Yu wapi yule mwekezaji wa kutoka USA kuja kutandika mataruma ya reli ya kisasa.
Na hizo kauli zake za dharau ndiyp zimemfukuzisha kwenye ulimwengu wa siasa!Wewe darasa la 7 utaniambia nini mimi mwenye digrii 4 ? labda uniambie mfuko wako hauna hela ili nikusaidie - Mwakyembe