Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Najiuliza ameshakufa kisiasa au? Maana asikiki kabisa wafuasi wa Chama Chake Kipya wamekua wakiachia ngazi siku hadi siku lakini yeye amekua kimyaaa hata kwenye mitandao ya Kijamii hasikiki.
Kama hajaenda kwa matibabu nje ya Nchi kimya chake kinanipa wasiwasi huyu huenda akaja kuibukia CCM maana siasa za Upinzani zimekua ngumu sana kutokana na Umahiri wa Rais Magufuli katika kuongoza Nchi.
Kama hajaenda kwa matibabu nje ya Nchi kimya chake kinanipa wasiwasi huyu huenda akaja kuibukia CCM maana siasa za Upinzani zimekua ngumu sana kutokana na Umahiri wa Rais Magufuli katika kuongoza Nchi.