Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

Leslie Mbena

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
207
677
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Acha mambo yako, wewe kama sii mtetezi wa walionyolewa, utakuwa mkwamia awamu yako pendwa. Sioni ukiweka namba ya simu siku hizi, kwani imekuwaje.
 
Kama huoni tatizo la uongozi wa Sabaya, basi una tatizo na usomi wako hauna maana yoyote..

Hakuna uhusiano wowote kwa yanayompata na yatakayompata Sabaya na Mwenyekiti wa CHADEMA - Taifa, ndg Freeman Mbowe..

Ujinga na upumbavu wake hata kupelekea makosa yake mwenyewe ndiyo yanayom - cost na kumwangusha moja kwa moja na kumtoa ktk siasa za Tanzania..

Ukosefu wa BUSARA na HEKIMA uliochangiwa na ukosefu wa LEADERSHIP SKILLS umewaharibu vijana wengi waliopata uongozi wakati wa Hayati Magufuli kiasi cha wao kuitumikia LEO ya kuumiza na kuonea raia kwa kutumia madaraka yao na kutoona kabisa kuwa, KUNA KESHO pia...

Sasa KESHO yao imefika na mmoja mmoja anaanza kulipwa ujira wake wa matendo yake maovu ya Jana...

Hawakujua kabisa kuna KUFA. Ulinzi au MUNGU wao (Mwendazake Magufuli) ndiyo huyo amekufa. Nani atawalinda tena?
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Mama anacheka na nyani! Atavuna mabua
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Unaonganisha na CV kabisa

Subiria teuzi

Ova
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Hata ukuiweka vyeti hatuwezi kukupa uteuzi wewe kutoka kundi la CHAWA ,MATAGA.

Mwisho wenu ndiyo umefika na mtalia na kusaga majino.
 
Pole mkuu. Shida yako ni tumbo, baada ya kutumbuliwa hujui tena ni nini ukafanye upate kula. Andishi lako halina mantiki, na inaonyesha dhahiri kwamba hujui kitu pamoja na kujinasibu kuwa mbobezi wa uonhzoi. Hivi ni kweli kwamba Sabaya alitumwa akapambane na Mbowe? Je Mbowe alikuwa na kosa lipo. Na je kazi ya mkuu wa wilaya kwa mjibu wa katiba na sheria za nchi ni kupambana na wanasiasa? Siasa hupingwa kwa siasa nsio mabavu na uonevu.
Kwa haya ulioandikwa ni hakika mama amewapatia na mjiandae kisaikolojia, hali yenu hapa mbeleni itakuwa mbaya zaidi.
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Aisee, hizi elimu za kijinga mnasomeaga wapi

Hakuna mtu anapinga Sabaya kufanya siasa, issue ni Siasa za jinai...
Mkiendelea hivi wananchi wakaamua kuchukua hatua mkononi kujilinda mtafanyaje
Hongera sana kwa comment mzuri
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Nenda kashike jembe ukalime maana enzi yenu ishapita.
 
Huwa siwezi kabisa kusoma mada zako nikamaliza hadi mwisho kwani wewe ni miongoni mwa vijana wapuuzi mnaoharibu taswira ya CCM!
Wewe kwa akili yako fupi unadhani siasa ni uadui au vita!
Sisi wana CCM na CHADEMA wote ni Watanzania tunatenganishwa tu na itikadi ya vyama vyetu ,muda wote tunapaswa kupendana,kuheshimiana ,kutofautiana bila kupigana na wakati mwingine tukubali kukubaliana kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu!

Sasa siasa za kijinga zilizoletwa na " Mungu" wenu Hayati Magufuli chini ya CCM Mpya ziliwafanya vijana myopic ( wenye mtindio wa ubongo) aina ya Makonda, Sabaya,Musiba,wewe Leslie Mbena ,akina Matefu na wengineo wengi mkadhani siasa ni uhasama, chuki,uadui na ugomvi!
Wewe hujabobea kwenye uongozi wowote japo unajifaragua na hako ka Masters kako ka kudesa! Ungesema umebobea kwenye ujinga ningekuelewa!
 
Namba ya simu na cv, umebuni njia yako ya kutafuta ajira. Mama anawajua watu wake. Acha utoto.
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Acha siasa za kitoto. Na hiyo cv yako uliyomalizia hapo chini,umeiweka ya nini? Kuna watu humu jamvini wanazo cv kali na ya kwako ni cha mtoto. Sijui inahusiana vipi na mada uliyoposti. Tatizo lenu mnadhani waTanzania wote sisi wajinga hatujui kuchagua pumba na mchele!!!!
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha,ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania,akajibu Godbless Lema akiwa Canada,na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai,kwa Mfalme wa Chadema,Freeman Mbowe,tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai,kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema,Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya,

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai,kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge,wakati Mbunge wa Hai,Freeman Mbowe akizunguka duniania kusema Awamu ya tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai,nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai,yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai,aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Mhe Lengai Ole Sabaya,

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa Chadema,na kwa hakika wamepata point tatu muhimu,Sabaya pengine ni Kijana,Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana dumu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama vijana wanaopitia hali ya ujana lakini alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu,unalea kijana wako toka utoto,ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika,

kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama,kulea mtoto yakutaka kuwa na subira,hekima,busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?,wapo viongozi vijana kama Sabaya,awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana,lakini Sabaya aka Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai na pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai,Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai,zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa,

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi,labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa,ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo,Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha wananchi iwe kwa haki au kwa shari,ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa,

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu,Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi,mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe Chama au mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi,tujitahidi kusimamia haki,duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya Chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua,Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae,Chadema leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya,na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa,watu wa Chadema walipenda Sabaya aondolewe mbali,pia wanataka Mh Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Mh Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa,hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu,

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati Chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara,awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua,kumuita majina,wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli!? Wana utu kweli!? Je wao hawatakufa!? Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani,

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany,Alexander Crummel,Edward Blyden,Dr William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe,Marcus Garvey,Kwame Nkrumah,Haile Selassie,Robert Mugabe,Jomo Kenyatta,George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela,Oliver Tambo,Thomas Sankara,Patrice Lumumba and Dr John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele. Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi,hata aondolewe nani bado legacy ya mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu,kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.

-Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Pamoja na elimu yako nzuri ila bado unatakiwa kuongeza maarifa some thing still missing, sikia
Ujambazi,wizi ,uasherati ni Tabia tena ya kuzaliwa nayo ,utalea vizuri mtoto,utampa kila kitu ila ukifika mda Tabia itaibuka ,mbona wapo wakuu wa mikoa na wilaya wanafanya vizuri Sana bila ujinga Kama wa wengine na wengi wao vijana mfano MTAKA
Alafu bila aibu kwamba sabaya kaungana na wananchi kumtoa Mbowe je ni katika mazingira gani ya uchaguzi wa jimbo ilo, ? Ya kujeruhi ,kuumiza, na kila aina ya ukatili KWA viongozi na wafuasi wa chadema ,?
Mbunge katika jimbo hata akiongoza miaka mia alihali wananchi wanamchagua katika Uhuru na haki Kuna shida gani? Na Kama ndo hivyo Kuna shida yoyote Mbowe kuendelea kuongoza jimbo?
Eti sabaya kafanya kazi za kibunge wakati mbowe anazunguka so what ,tutajie ni maendeleo gani sabaya kafanya kwenye jimbo la hai taja
Nasema Mnaotetea Mambo ya ajabu Kama aya laana zitawafuata na kutafuna huko mliko subilin very shame ,mwanasiasa wa mda marefu but sion impact yako katika siasa zako za mda mrefu
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom