Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,762
- 71,145
Anataka kumfanya mama ni mjinga kuhadaika na hoja hizi za kijinga?Unaonganisha na CV kabisa
Subiria teuzi
Ova
Huyu Mbena ni mpuuzi asiye jitambua, hajiulizi kwa nini Sabaya kafyekwa haraka tuu baada ya kujipendekeza Clouds ili mama amuone? Sasa kumuona kweli na kampa haki yake.
Mbena umejipaka choo kwa kujionyesha kuwa wewe ni CCM unayepingana na mema yanayofanywa na Mwenyekiti wako sasa subiri.
Utaweka CV zako na namba ya simu hadi ya mkeo na wazazi wako lakini ndio basi tena!