Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 616
- 854
Naamin anandaliwa kuwa mkuu wa wilaya mojawapo Tz.
Na Mbowe mbona humsemi...?Kazi ya siasa ni kama marathon unapokea kijiti unakimbia ukifika kwa mwenzio unamkabidhi anaendelea, ila kuna watu wamegeuza siasa njia za kujipatia kipato yaani hawataki kuachua mabaraka kabisa,
sasa wewe uenyekiti wa chama tu hutaki kutoka mfano mbatia dovutwa cheyo ukipewa ikulu je? Siutageuka sultan!
Ccm ina tabia za wahindi. Wahindi wakishakutumia vya kutosha,wanakuweka pembeni. Unakuwa thamani yako imekwishaHivi huyu jamaa yupo hapa nchini au kashapangiwa ubalozi WA nchi Fulani? Maana kaapotea sana kwa kweli ukizingatia kuwa ccm mpya ni ya hapa kazi tu, wapi yeye anapigia kazi?
Yupo dodoma analishwa na mkewe...mkewe ni mwalimu...
HahahaHivi huyu jamaa yupo hapa nchini au kashapangiwa ubalozi WA nchi Fulani? Maana kaapotea sana kwa kweli ukizingatia kuwa ccm mpya ni ya hapa kazi tu, wapi yeye anapigia kazi?
Si ndo ukweli..hana kaz anashinda analea watoto hom wife anaenda kazini...anategemea mshahara wa mkewe kuishi