Zedude
Senior Member
- Jun 10, 2021
- 171
- 387
Nakutania mkuu, sema ile avatar ya mwanzo usingeitoa.Hapana,
ilikuwa poa sana , na huwa napenda unavochangia mada ...
Nakutania mkuu, sema ile avatar ya mwanzo usingeitoa.Hapana,
Asante na karibu tena, nitairudishaNakutania mkuu, sema ile avatar ya mwanzo usingeitoa.
ilikuwa poa sana , na huwa napenda unavochangia mada ...
Ntafurahi sana , mchana mwemaAsante na karibu tena, nitairudisha
Kumbe ulimpongeza! siyo karoho kaliuma vile?Wivu wa Nini hapo na wewe D, sina utoto huo, saiv kakalia kiti teule itakuwa kampata wa kupendana nae, sijawasiliana nae muda mrefu tangu nimpongeze na uteuzi basi sijamtafutaga tena
Hawaonyeshi interest na wewe baada ya kuwa single mother?Wakati niko chuo undergraduate, nilikuwa naamini katika kupata mke wa kuoa chuoni. Basi nikaanza pilikapilika. Enzi hizo akina dada wachache university. Kulikuwa na 3 niliokuwa naona wananifaa. Jaribu jaribu, wapiiii. Hakuna kitu. Wanaonipenda, siwapendi. Ninaowapenda, hawanipendi. Basi nikamaliza chuo hivyo hivyo, kibingwa bingwa. Nilivyokuwa postgraduate ndio nikapata mweza. Sasa wale warembo 3 nilikuwa natafuta mmoja wapo - wawili ni ma-single mother mpaka leo, mmoja ndiye alifanikiwa kuolewa.
Sasa we unataka uwe wa kwanza kwako bila wewe kuwa wa kwanza kwake!!Mimi huwa nawatongoza wanawake wanaoonekana wanaheshima/watu wa dini lengo langu ni kumpata bikra nitakae mpenda sana.
Lakin bahati mbaya Licha ya muonekano wao wa kidini sijawahi kubahatisha bikra ila Nina bahati ya kuwa wao huwa wananipenda sana lakin ninawaacha kikatili kwakua moyo wangu unahisi tayari Wana watu wao waliokwisha kupendana kabla ya uwepo wangu
Ninawaacha na kuendelea na safari yangu ya kutafuta mwanamke ambae Mimi ndo nitakua mpenzi wake wa kwanza
Hivyo katika hao nilio achana nao mimi upendo wangu unafutika na sibakizi hata chembe ya upendo wangu juu yao, nafanya haya yote kwa kuzingatia husia huu "Owa mwanamke unae mpenda na usioe mwanamke kwa kumuonea huruma"
hawaonyeshi interest na wewe baada ya kuwa single mother?
Wewe tu na fikira zako ila sitajieleeeza kwako,, muda huo sina kwahiyo waza utakavyo,kumbe ulimpongeza! siyo karoho kaliuma vile?
Punguza jazba. hapa ni kama tunapiga story tu na tunapata experience tofauti. Ume over-react dadangu!Wewe tu na fikira zako ila sitajieleeeza kwako,, muda huo sina kwahiyo waza utakavyo,
Sasa we unataka uwe wa kwanza kwako bila wewe kuwa wa kwanza kwake!!
Umeona!Ana moyo wa kishetani kabisa.
Ukiona nime over-react nayo ni mtizamo wako,, sikuwekei kikomo waza uwezavyo juu yangupunguza jazba. hapa ni kama tunapiga story tu na tunapata experience tofauti. Ume over-react dadangu!
Sawa dada. The agenda closed nisikuharibie siku dadangu.Ukiona nime over-react nayo ni mtizamo wako,, sikuwekei kikomo waza uwezavyo juu yangu
Mood niliyonayo hayupo wa kuniharibia siku,sawa dada. The agenda closed nisikuharibie siku dadangu.
Mkuu natafuta mwanamke bikra hakika mimi nimetulia sana na nikimpata nitampenda sana na ikiwa yeye atanipenda pia huyo ndo nitakae muoa
ila kwa ambae nitamkuta siyo bikra nitaachana nae bila kuyajali machozi yake hata anipende vipi, kwakua nikimuoa moyo wangu hautaacha kuhisi nimeoa mpenzi wa mtu hivyo sitaweza kumpenda
Na nisipo pata nipo tayari kutokuoa kabisa .
Dada hivi umechange dp yako siyo????Ni maono yako mkuu fikiria kadri ya uwezo wako siko hapa kujielezea kwako
Kweli kaka Hadi mie nimeona hivo ile avatar irudiNakutania mkuu, sema ile avatar ya mwanzo usingeitoa.
ilikuwa poa sana , na huwa napenda unavochangia mada ...
Walipishana na gari ya mapesaaWamechoka sana. Walikuwa ma-beauty queens UD. Mimi nikiwa kama Mpoki na Joti wa enzi za ITV. Sasa niko km Mpoki na Joti wa hivi sasa. Hawawezi kunitaka kwa vile nina familia na wanajua hivyo. Of course, watakuwa wanatamani familia yangu - hali ya kuwa na baba, mama na watoto.
Naunga mkono hoja,Naomba nikukope hii line..
Cc Ma ex waliotangulia na watarajiwa..
Nimebadili pichaDada hivi umechange dp yako siyo????