Yuko wapi Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,871
Kama Mtanzania mpenda Viongozi wangu na Utendaji wao mzuri naomba Kujulishwa yuko wapi Makamu wangu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nikimwona Uwanja wa Uhuru Keshokutwa (Alhamisi) katika Siku ya Uhuru wetu GENTAMYCINE nitakuwa ni mwenye Furaha na nitajitahidi 'nipenyepenye' mpaka nikamsalimie Mtani wangu wa Kiha kutoka kwa 'Washamba' Mkoani Kigoma.

Au kama yupo (tunae hapa JamiiForums) tafadhali naomba ajitokeze tu anijibu kuwa yuko na anaendelea na Majukumu yake ili tu Roho yangu iridhike kwani 'nimemmisi' sana Makamu wangu wa Rais Dk. Philip Mpango.

Waha niambieni Ndugu yenu yuko wapi?
 
Jana alikua ana zindua kongamano la usawa wa kijinsia kupitia zoom
Kama Mtani wangu Muha yuko basi ni Faraja kubwa sana Kwangu Mkuu. Tafadhali Mkuu kama una Picha zake zozote labda za katika hilo Kongamano la Zoom la Jana hebu niwekee hapa ili nimuone tu na niridhike kwani nilishaanza Kuogopa na Kuikumbuka Hospitali moja hivi Makumbusho Dar es Salaam.
 
Kama Mtani wangu Muha yuko basi ni Faraja kubwa sana Kwangu Mkuu. Tafadhali Mkuu kama una Picha zake zozote labda za katika hilo Kongamano la Zoom la Jana hebu niwekee hapa ili nimuone tu na niridhike kwani nilishaanza Kuogopa na Kuikumbuka Hospitali moja hivi Makumbusho Dar es Salaam.
Ni habari niliiona kwenye chombo kikubwa sikumbuki ni kipi ngoja niisake
 
Sawa tangia uende Ziara yako kule Singapore Watanzania hatujapata Taarifa yoyote ile ya Urejeo wako nchini halafu Siku hizi wanaosikika mno ni #1 na #3 tu na Wewe #2 ni kama umeshafunikwa na upo upo tu?
Mkuu wangu kumbuka kwamba Makamu wa rais ni ceremonial zaidi kuliko utendaji.
Btw, mimi siyo Makamu wa rais Dr Mpango. Nilikuwa nafurahisha genge tu! 😂😂
 
Ni habari niliiona kwenye chombo kikubwa sikumbuki ni kipi ngoja niisake
Hivi nyie Washamba Waha Watani zangu si mpo wengi tu hapa JamiiForums? Hebu niambieni upesi Mzanaki Mimi aliko Ndugu yenu Makamu wa Rais Dk. Philip Isidori Mpango tafadhali.

Kuna Shehena ( Consignment ) moja ya Corona ( UVIKO-19 ) nataka kuipeleka Mkoani Kwenu Kigoma na nataka Yeye ndiyo akaipokee kwani imetengenezwa 'Kienyeji' kutoka kwa 'Mashujaa' wa Tanzania Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma )
 
Back
Top Bottom