Nilimkuta kwa fundi Bajaj akimgombeza mbaya dereva wake kwa kutotimiza hesabu,
Mim pia nlikuwa natengeneza kibajaj changu dereva alikisusa kwa ubovu
Tulifanya mkutano namna Bora ya kuwakomoa Hawa madereva namshukuru kwa mawazo yake
Nilimuona Mtwana Cafe Siku moja akiwa na dogo mmoja naona huyo dogo alikuwa anawasilisha slip za bank za mapato ya Bajaji. Alikuwa amevalia Kanzu. Na Noah yake ikawa imebaki kwa nje. Alionesha kuchoka fulani bila FURAHA sana. Kuna kipindi alilazwa muda hospital hivi alikuwa anasumbuliwa na maradhi gani? Maana hiyo aliibeba kwa siri sana
.
Nimejaribu kuzoom,jamaa anakimbilia 70s you know!
Mtoto wa kiume unahoji kibamia cha mwanaume mwenzio?! Kweli?!Huyu jamaa walisema ana kibamia bwana
Mtoto wa kiume unahoji kibamia cha mwanaume mwenzio?! Kweli?!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us