Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,650
Akipumzika mtu wa upande wa pili mnabana pua 'afya yake mbovu', sasa tunaomba tuwaone hao wazee waje kutukana tena
Kwani kinana mgombea kama Edo? Edo afya mgogoro tunamlinganisha na Magufuli sio Kinana