kinguo
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 440
- 315
Wakuu poleni na majukukumu ya kulizungusha tairi la maendeleo.
Nakuja mbele yenu nikitaka kujua huyu kijana mwenzetu kwenye siasa za nchi hii.
Maana amekuwa kimya sana hata zile twit zake hatuzioni kwa kasi hii ya mzee wetu kipenzi hapa kasi tu. Ni kipi kimemsibu na kuwa kimya hivi.
Ukichukulia wizara anayoongoza bado inachangamoto sana. Si mwingine ni Januari Makamba. Hata kwenye mkutano wa juzi huko Dodoma hata picha magazetini au kwenye TV station akifanya mahojiano.
Maana tulizoea kumuona hasa wakati wa jk au wakati tukielekea kwenye uchaguzi alikua hakauki kwenye media nini kimempata kijana wetu.
Naomba kuwasilisha.
Nakuja mbele yenu nikitaka kujua huyu kijana mwenzetu kwenye siasa za nchi hii.
Maana amekuwa kimya sana hata zile twit zake hatuzioni kwa kasi hii ya mzee wetu kipenzi hapa kasi tu. Ni kipi kimemsibu na kuwa kimya hivi.
Ukichukulia wizara anayoongoza bado inachangamoto sana. Si mwingine ni Januari Makamba. Hata kwenye mkutano wa juzi huko Dodoma hata picha magazetini au kwenye TV station akifanya mahojiano.
Maana tulizoea kumuona hasa wakati wa jk au wakati tukielekea kwenye uchaguzi alikua hakauki kwenye media nini kimempata kijana wetu.
Naomba kuwasilisha.