Mzalendowetu
Member
- May 22, 2012
- 87
- 34
Huyu mshikaji nilikuwa namfagilia sana kutokana na wimbo wake wa Riziki. Mashauri yake yametulia sana. Ni wimbo ambao hautachuja kwani unagusa maisha yetu ya kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashkuru sana Mkuu yani bila hii picha nisingemkumbuka... Duh!K Bazil yupo ila inasemekana kuwa ameokoka na kuachana na uimbaji wa bongo fleva na kujikita kwenye uimbaji wa
gospel,ambapo may 2011 alizindua wimbo wake wa Yesu Ananipenda.Hapa akiwa na mkewe Perida Mdegella wakiwa kwenye ndoa yao iliyofungwa mwaka 2010 desemba,mkewe pia alikuwa mwimbaji wa kwaya zamani.View attachment 76963
Ana undugu na mtoto wa mkulima nn?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mtoto
wa
mkulima
ndo
nan?
Ana undugu na mtoto wa mkulima nn?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mtoto
wa
mkulima
ndo
nan?
Ana undugu na mtoto wa mkulima nn?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums