Yuko wapi huyu mzee wetu ambaye kwa moyo mweupe alitoa ahadi mbele ya Rais Magufuli kuwa yuko tayari kukatwa mkia na kwa kurudi ccm kwa kuwa Magufuli anashughulika na Suala la Ufisadi ambalo ni miongoni mwa vilivyomkimbiza huko?
Yuko wapi kwa anayejua tafadhari atueleze?
Yuko wapi kwa anayejua tafadhari atueleze?