Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,491
Huyu mama alikuwa anacheza kwenye Wizara muhimu kwenye awamu ya 4 yuko wapi kwasasa? Nakumbuka licha ya kupigiwa kelele kama Waziri mzigo akiwa kama Waziri wa Utumishi, bado JK aliendelea kumuamini.
Mnaejua mje mtujuze yuko wapi kwasasa?
Mnaejua mje mtujuze yuko wapi kwasasa?