johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,612
- 141,436
Nimeguatilia vikao vyote vya bunge lililomalizika juzikati sijamsikia kabisa mbunge wangu wa zamani hapa Kawe Mh Halima Mdee.
Yuko wapi mbunge huyu machachari kutokea Bawacha?
Jumaa kareem!
Yuko wapi mbunge huyu machachari kutokea Bawacha?
Jumaa kareem!