mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,628
- 105,546
Ft matonyaBORA TUMEACHANA D knob feat Q jay,bonge moja la ngoma
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ft matonyaBORA TUMEACHANA D knob feat Q jay,bonge moja la ngoma
Unaitwa Bora tumeacha, mwenye linki ya kui download au anayo aipandishe hapa basi......Kuna ngoma inaitwa kitu gani yuko na Q jay iko vyema sana.
Sidhani.Unaitwa Bora tumeacha, mwenye linki ya kui download au anayo aipandishe hapa basi......
Nimechanganya, huna link niushusheSidhani.
Unaimbwa hv
Kitu gani umemind,
Nishakusoma machoni,
Hii karne ya uwazi babe.
D knob(niambie)
Ngoma yake hiyo ilikuwa na Verse moja.
Bora tumeachana yupo yeye na matonya..Unaitwa Bora tumeacha, mwenye linki ya kui download au anayo aipandishe hapa basi......
Hii ngoma hata mm naipa no Moja kwa d knob ..afu inafuatia aliyofanya na mwasiti ..Nishike mkonoBad man alomshirikisha Canibal ndiyo wimbo wake bora kwangu kwa muda wote..
Pia ana ngoma inaitwa Mr.Sahani haiku hit sana ila ni noma sana...
Yes ni kweli , sijui Yuko wapi jamaa , very cool guyD knob ni Kati ya bongo flavor legendary wanaopendwa Sana.
DKnob ft Matonya mkuu.BORA TUMEACHANA D knob feat Q jay,bonge moja la ngoma
Alitaja afande mkiza au Afande mkisi??Narudi nyumbani namkuta mama kibarazani
Huku niko bwaataa halafu na chupa ya Krest mfukoni
Huu Ahhhh!!!!
Sura amekunja eti staki school kisa afande Mkiza ananiburuza kwenye madawati
Hu Ahhhh!
Pandisha hapa Kama unazoNgoja kwanza mchumba natash
a usilonge fasta...Aaah mimi sio natasha!
Namkubali sana huyu jama kwenye folder labgu la bongo Old-school nina nyimbo zake kibao