Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,846
- 6,439
Uko sahihi KWA asilimia 100%!Ukiona mtangazaji au dj anadumu EA RADIO AU EATV basi ujue si mtangazaji au dj bora,kama walivyo wakina Dullah na Sammisago hawana soko kwingine na wala hakuna anaewahitaji. Watangazaji wasioweza hata kuyavutia makampuni mengi kutangaza kwao.