NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,001
Maalim yeyote mtaalam anaeweza kutuma jini kwenda Uingereza likafika chini ya saa moja anicheki.Alteta awezi kuaribu furaha za mabilioni ya watu Duniani.
Hakuna kocha humu broManina zake Arteta...mbwa huyu.
Hakuna kocha humuMaalim yeyote mtaalam anaeweza kutuma jini kwenda Uingereza likafika chini ya saa moja anicheki.Alteta awezi kuaribu furaha za mabilioni ya watu Duniani.
Hata usimamizi tu wa mazoezi hafai.Hakuna kocha humu bro
Unasema?Hakuna kocha humu bro
EtiHata usimamizi tu wa mazoezi hafai.
Hupo mkuuMimi ni mmoja wao nilimkataa Mikel Arteta na bado simkubali.
Uzi wako upo, tuombe uhai mechi mbili zijazo, tupo hapa.
EtiManina zake Arteta...mbwa huyu.
Uliona mbali kuliko Hawa vilazaArteta anaijenga timu kama tu alivyoifanya Klopp Liverpool. Arsenal itarudia namba yake ya kawaida kwenye league table tangu 2004 'tatu bora'.
Huna akiliArteta ni wa kufukuza tu!
Hakuna kitu pale
Kocha anakuwaje?tatizo mnaleta ujinga wenu wa Simba na Yanga Hadi ulayaHakuna kocha humu bro
Kama aliyekuzaaHuna akili
ArsenalHivi Arteta aliwahi kufundisha timu gani iliyopata mafanikio , wapi , lini na timu hiyo inaitwaje ?