chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
swali kwa wanaofahamu kuhusu hili.!
kipindi cha yesu na wanafunzi wake kulikuwa na msaliti ambaye alimuuza yesu kwa jina Yuda aka "muhasibu wa yesu".
huyu Yuda ndie aliyepokea vipande vya pesa !
kuna madokezo wale wapenda kujua dunia upande wa pili.
HISTORIA;
wakati Yuda alipopokea vile vipande vya pesa na kuumuza Yesu,alikuwa bado ajatumia ila baada ya kuona kuwa alikosea ikabidi kwenda kujinyoga!
wakati ana jinyonga alikuwa na zile vipande vya pesa.
swali lina kuja hapa !!!
*Yuda alipojinyonga vile vipande vya pesa na wataalamu wanadai ukipata kipande hata kimoja ...!
:sijajua vile vipande vya pesa kwa nini vipo upande wa pili!
*Yuda alipojinyonga pale ule mti ulikuwa wa aina gani na kwa nini unatajwa kuwa na mambo mengi.
*kwa nini wanaonyongwa au kujinyongwa wote walifata mfumo wa yuda ambao alijinyonga usiku !
kipindi cha yesu na wanafunzi wake kulikuwa na msaliti ambaye alimuuza yesu kwa jina Yuda aka "muhasibu wa yesu".
huyu Yuda ndie aliyepokea vipande vya pesa !
kuna madokezo wale wapenda kujua dunia upande wa pili.
HISTORIA;
wakati Yuda alipopokea vile vipande vya pesa na kuumuza Yesu,alikuwa bado ajatumia ila baada ya kuona kuwa alikosea ikabidi kwenda kujinyoga!
wakati ana jinyonga alikuwa na zile vipande vya pesa.
swali lina kuja hapa !!!
*Yuda alipojinyonga vile vipande vya pesa na wataalamu wanadai ukipata kipande hata kimoja ...!
:sijajua vile vipande vya pesa kwa nini vipo upande wa pili!
*Yuda alipojinyonga pale ule mti ulikuwa wa aina gani na kwa nini unatajwa kuwa na mambo mengi.
*kwa nini wanaonyongwa au kujinyongwa wote walifata mfumo wa yuda ambao alijinyonga usiku !