Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
Sisi watu wa kanda ya ziwa saa nyingine nashindwa kuelewa pale tunapofanikiwa na tukawa maarufu, kosa letu huja tukisha fika Dar. Sijui shida inayotupata huko huwa ni nini. Msodoki ni msanii ninaye kubali sana tungo zake na namna ya uchanaji wake, lakini muda umepita sasa bila kumsikia huyu bwana mdogo kunako trending list za muziki wetu huu pendwa. Yu wapi msodoki, mbona kajificha utadhani mashabiki zake tumemuudhi.