MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Ni muda sasa Waziri wetu wa Ardhi, Nyumba na Makazi hayuko mubashara, haonekani kwenye vyombo vya habari, hasikiki Anafanya Nini au nini kimemsibu Waziri Lukuvi?!
Binafsi nimeufuatilia utendaji kazi wake pale wizarani kipindi chote Cha nginjanginja za Mwendachato, alinikosha kwa kweli
Ni Waziri jasiri asiyependa kujipendekeza hata kwa JPM Jambo ambalo halikuwa la kawaida, mawaziri wengi wakiwemo kina Palamagamba Kabudi kufikia kutamka kwamba katolewa jalalani, Jaffo huyo ndio usiseme Ili mradi mawaziri wengi walikuwa ni mwendo wa kudemka tu.
Narudia Yu wapi Waziri Lukuvi?
Binafsi nimeufuatilia utendaji kazi wake pale wizarani kipindi chote Cha nginjanginja za Mwendachato, alinikosha kwa kweli
Ni Waziri jasiri asiyependa kujipendekeza hata kwa JPM Jambo ambalo halikuwa la kawaida, mawaziri wengi wakiwemo kina Palamagamba Kabudi kufikia kutamka kwamba katolewa jalalani, Jaffo huyo ndio usiseme Ili mradi mawaziri wengi walikuwa ni mwendo wa kudemka tu.
Narudia Yu wapi Waziri Lukuvi?