Yu wapi Mwanasiasa Shyrose Bhanji??

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Aisee huyu sijamsikia kabisa hivi mwaka huu hakugombea hata viti maalumu maana 2005 alikuwa machachari sana??

attachment.php
attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • shyrose.jpg
    shyrose.jpg
    76.7 KB · Views: 506
  • shyrose2.jpg
    shyrose2.jpg
    63 KB · Views: 486
  • shyJK2.jpg
    shyJK2.jpg
    43.4 KB · Views: 481
Mwanadada alijituma sana kuwa karibu na fammilia ya JK na clouds fm, ila sijui Mheshimiwa hajamuona au inakuaje ,labda atamkumbuka kwa ukuuwa kata.
 
...Inawezekana hajawaona Wazee wakamuona kuwa 'Ni Mwenzetu' na ndio maana kila anapojaribu kutia mguu kwenye nafasi za kisiasa anatoka kapa.
 
Msitukane Mamba kabla ya kuvuka mto, hata kama Mamba mwenyewe ni jike, labda Mkwere atampa ukuu wa wilaya kama mwenzake Nape....
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom