Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,879
- 4,879
- Thread starter
- #101
Aliwaoko watu sana enzi hizo. Mungu ambarikiJamaa alikuwa anajua mpaka kero. Nadhani sasahv atakuwa ameanza kuchoka maana ni kitambo sana.
Aliwaoko watu sana enzi hizo. Mungu ambarikiJamaa alikuwa anajua mpaka kero. Nadhani sasahv atakuwa ameanza kuchoka maana ni kitambo sana.
Jamaa alikua mtata sanamkuu yawezekana yale makovu ya munishi ni ya wakati wanapiga deal na kina malebo ?
Hapana. Malebo ni rafiki yake na alimuimbia directfasihi huwa na tabia ya kuwahaisha wahusika wake. aghalabu malebo ni miongoni mwa sisi wasikilizaji na kuna uwezekano mkubwa alikuwa ndiye muimbaji maana ili kuokoka watu hupitia mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wanandugu, Malebo alisha okoka havuti sigara wala hanywi pombe tena. Yupo huku pande za NYARUGUSU anamiliki maduara ya kuchimba dhahabu Kama sikosei ni ma4 , jamaa yupo vzur kimaisha
Mkuu unafahamu anajishughulisha na nini hapo?Yuko Stand kuu ya mjini yanapopaki magari ya Moshi amezeeka lakini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!... hongera Sana kwake 👏👏👏Habar wanandugu, Malebo alisha okoka havuti sigara wala hanywi pombe tena. Yupo huku pande za NYARUGUSU anamiliki maduara ya kuchimba dhahabu Kama sikosei ni ma4 , jamaa yupo vzur kimaisha😎😎
Inasemekana Malebo yupo Lumumba, kagoma kuokoka, anawatwanga watu risasi saa7 mchana kweupee, anadai eti yeye ni msema kweli, kwamba yeye ni mpenzi wa mungu, kachaguliwa na wanyonge, mchungaji Munishi akiwemoKwa wale wahenga kidogo wa miaka ya 1990 wanamkumbuka Pastor Munishi aliyeimba wimbo maarufu sana unaoitwa Malebo. Najua Jf ni kisima cha watu walioko maeneo mbali mbali. Hivi huyu MALEBO aliyeimbwa katika wimbo huu bado yuko hai? Na kama yuko hai yupo wapi kwa sasa?
View attachment 1457188
Tupo nae hapa nairobiAlimuimbia Tena wimbo mwingine maana Malebo alikubali kuokoka.
Atakuwa anamtumikia Mungu mahala.
Hivi huyu mch Munishi Yuko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oh sawa mkuuTupo nae hapa nairobi
Hivi Munisi/Munishi bado yupo? Nyimbo zake zinabamba sana....
Si yule kipa deogratius munishi dida alikuwa yangaHivi Munisi/Munishi bado yupo? Nyimbo zake zinabamba sana....
Kwa wale wahenga kidogo wa miaka ya 1990 wanamkumbuka Pastor Munishi aliyeimba wimbo maarufu sana unaoitwa Malebo. Najua Jf ni kisima cha watu walioko maeneo mbali mbali. Hivi huyu MALEBO aliyeimbwa katika wimbo huu bado yuko hai? Na kama yuko hai yupo wapi kwa sasa?
View attachment 1457188Malebo yupo na kwasasa amekubali kuokoka.