Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,390
Huu mzozo aside,
Mapalala anasema Hamad Rashid Mohammed ni mtu muhimu sana katika CUF kwa sababu ndiye mtu pekee anayeweza kwenda kutafuta fedha nchi za nje kwa ajili ya chama (kuomba misaada) ?
Hawa ndio wanamapinduzi wetu jamani.
----
Mapalala anasema Hamad Rashid Mohammed ni mtu muhimu sana katika CUF kwa sababu ndiye mtu pekee anayeweza kwenda kutafuta fedha nchi za nje kwa ajili ya chama (kuomba misaada) ?
Hawa ndio wanamapinduzi wetu jamani.
----
Ni kweli J. K. Mapalala alikuwa ni mmoja wapo katika waasisi wa CUF na inasemekana alifukuzwa uongozi Wa CUF baada ya kurubuniwa NA CCM ZNZ na ndio maana akaanzisha chama ndani ya chama.
Chama cha CUF kwa kawaida kadi zao za uanachama zinakuwa na viganja viwili vya mikono vinavyosalimiana na mizani wakati yeye alichapisha kadi ambazo zina tembo aliekanyaga mzani.
Sasa kama hizi habari zilikuwa za kweli mlitaka CUF wachukue hatua gani!!!? Waache chama kimoja kiwe NA kadi zenye nembo mbili tofauti na baadae chama kifutwe baada ya watu kutumia nafsi NA Mali zao kukianzisha!? Hilo haliwezekani.
Kuhusu Maalim kupenda hela hilo sio kweli maana sote ni mashahidi namna alivyokubali kupoteza uongozi NA uanachama ndani ya CCM wakati huo kwa lengo moja tu nalo ni kuitetea ZNZ NA watu wake.
Kuhusu Mapalala kuimarisha CUF wakati alipokuwa M/kiti hilo hakulifanya yeye peke yake!!!!??? Kama ni hivyo huu sasa ni zaidi ya mwaka wa7 mbona CHAUSTA hakijaimarika? Nadhani pamoja na propaganda mbali mbali inayofanywa JUU ya CUF, mfano fitina ya UDINI, UPEMBA NA UGAIDI WA MAHITA lakini bado CUF inajiuza yenyewe na ndio maana tokea kuasisiwa kwake pamoja na dharuba mbali mbali lakini bado imesimama wima!!!????
Viko wapi vyama vilivyokuwa na nguvu vya upinzani TZ!? Leo iko wapi NCCR mageuzi!???? Leo iko wapi TLP!??? Hata hiyo Chadema siku zake zinahisabika.
Jambo moja kubwa ambalo mimi hadi leo linanitoa MACHOZI ni kwa mzee Mapalala kukubali hadaa ya maira hadi kufikia kutoa RASILIMALI YAKE PEKEE tena kwa hela mbuzi!!!??? Sifikirii kama nyumba zake zilikuwa zinafikia thamani ya mil80! Lakini ile plot ni utajiri tosha ambao maskini huy umemtoka
NA sijui kwanini hakurudisha nyuma moyo wake na akamfuata Maalim amsaidie kwa chochote ili aokoe plot yake!? Ninavyomjua Maalim nilazima angalifanya bidii kubwa kuinusuru plot ya Mzee Mapalala maana Maalim ni MTU ambae haweki visasi na ni mwepesi wa kusamehe.
Kwa Maalim SIASA si uadui na ndio maana hutamkuta kwenye jukwaa akihubiri chuki wala kutukana watu!!!??? Matusi yote na madhila aliyofanyiwa na Salmin Amour baadae Amani Karume lakini alisamehe na kukubali kukaa nao chini na kupatana nao