Nafikiri wengi wanajua matunda na mboga za majani (vitamins) ni dawa ila sometimes ugonjwa unapozidi lazima utumie na dawa za kisasa kwa msaada wa daktari sio kutegemea matunda tu
Amenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona