ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu. Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?