G Game Theory Platinum Member Sep 5, 2006 8,545 835 Jun 2, 2008 #1 HIVI NANI BADO ANAYO MASHATI YA YSL au perfume zake? the man just bite the dust..developing...
Icadon JF-Expert Member Mar 21, 2007 3,581 184 Jun 2, 2008 #2 Fat Joe na Jadakiss at least nimewasikia wakirap about them kwenye nyimbo kadhaa and yeah Rick Ross too. RIP
Fat Joe na Jadakiss at least nimewasikia wakirap about them kwenye nyimbo kadhaa and yeah Rick Ross too. RIP
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,592 29,711 Jun 2, 2008 #3 Hivi madisaina wetu bongo wako timamu?? maana nawona ktk fasheni show tu lakini hawapo madukani......
Hivi madisaina wetu bongo wako timamu?? maana nawona ktk fasheni show tu lakini hawapo madukani......
Mwawado JF-Expert Member Nov 2, 2006 993 252 Jun 2, 2008 #4 Habari imenisikitisha mno mie ni mpenzi wa Cologne yake Jazz toka miaka ya 80's.Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.
Habari imenisikitisha mno mie ni mpenzi wa Cologne yake Jazz toka miaka ya 80's.Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.
WomanOfSubstance JF-Expert Member May 30, 2008 5,457 956 Jun 2, 2008 #5 tunae KP...ana duka lake for his products....