Yoweri Museveni atasimamia mazungumzo ya kuleta amani Ethiopia kuanzia leo

Usuruhishi wa migogoro siku hizi ukoje mbona unakuja upande mmoja katika mgogoro unapozidiwa au kukalishwa kabisa. Jeshi limeshatangaza ushindi dhidi ya Tigray eti ndo wasiruhishi wanaingia kazini!
 
Federal government wamegoma. Wanaendelea kudondosha mabomu na hawataki kuzungumza na hao viongozi na wanajeshi wake

View attachment 1628615
Federal government ina nguvu kubwa kijeshi hivyo itashinda tu.

Ila kitendo cha wapiganaji kutoka kabila la Ahmara kushirikiana na serikali kuu kuwashambulia wa Tigray huoni kama kitazidisha zaidi uhasama wa kikabila siku za usoni?
 
Back
Top Bottom