Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,355
- 11,500
Hutegemei mtu mwenye akili zilizo sawasawa ata behave hivi mbele za watu. Kutema mate namna hii
Ni wazi kuwa akili ya Museven imeshaingia Virus. Tutegemee mengine ya hovyo zaidi kutoka kwake.utendaji wake wa ubongo umeshaingiwa na Virus ambao wanasababisha disorder brain function.
Alipaswa apumzike. Uganda na East Africa kwa kiasi kikubwa inakumbwa na tatizo la kuwa na Maraisi wenye matatizo kwenye ubongo.
Ni wazi kuwa akili ya Museven imeshaingia Virus. Tutegemee mengine ya hovyo zaidi kutoka kwake.utendaji wake wa ubongo umeshaingiwa na Virus ambao wanasababisha disorder brain function.
Alipaswa apumzike. Uganda na East Africa kwa kiasi kikubwa inakumbwa na tatizo la kuwa na Maraisi wenye matatizo kwenye ubongo.