Tit 4 Tat
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 737
- 986
Saizi free hakuna kujisajiri labda kama unafanya habari.Wataalam vipi kuhusu leseni? Serikali imebadili kanuni au ndio ukitaka unajilipua?
Saizi free hakuna kujisajiri labda kama unafanya habari.Wataalam vipi kuhusu leseni? Serikali imebadili kanuni au ndio ukitaka unajilipua?
Ahsante mi siweki yutubu ni ulevi wa muziki Sahivi navyoandika hapa nasikiliza beat ya Michael Jackson you rock my worldSony Acid na Ableton! Sema nowadays meacha kuna siku YouTube walifuta beats 20+ kwa mkupuo..
Zipo you tube video zilizorekodiwa ba hio simu unazozifahamu nikaziangalie ili nijifunze zaidi,.Ndio tena vizuri tu na Ahsante juu.
Ww ingia youtube search kila kitu kipo.hakuna kinachokosekana YouTube.Zipo you tube video zilizorekodiwa ba hio simu unazozifahamu nikaziangalie ili nijifunze zaidi,.
Vivid example kwa mazingira yetu aliejaribu mfano wimbo wa jeje wa duamond ulirekodiwa na Iphone.Ww ingia youtube search kila kitu kipo.hakuna kinachokosekana YouTube.
Mkuu unaweza nisaidia ile biti ya zeze by tid maana kule uliweka vocal tu..Sony Acid na Ableton! Sema nowadays meacha kuna siku YouTube walifuta beats 20+ kwa mkupuo..
Ntaku uploadia hapa.Mkuu unaweza nisaidia ile biti ya zeze by tid maana kule uliweka vocal tu..
Kuna tamko lolote la kisheria lililopo? Maana adhabu ziliwekwa na sheria na kanuni zake so somehow inabidi zitenguliwe kwanza au kubadilishwa ili kuepusha madhara mbeleni ya kuwa criminal.Saizi free hakuna kujisajiri labda kama unafanya habari.
Nitashukuru mkuu hii ni moja ya ugonjwa wangu..Ntaku uploadia hapa.
Mkuu usinisahau..Ntaku uploadia hapa.
Duh! Mkuu ndo ushasahau..?Ntaku uploadia hapa.
Hapana mkuu shida mara mingi external hdd angu naachaga huko studio kwa droo baada ya kipindi. Mashine ya home sina library ya beats/Instrumentals zote. Jioni nina session ntakua na access nayo nakuhaidi ntakutumia usijali..Duh! Mkuu ndo ushasahau..?
Oukay kumbe mkuu unahusika na Mambo za studio!Hapana mkuu shida mara mingi external hdd angu naachaga huko studio kwa droo baada ya kipindi. Mashine ya home sina library ya beats/Instrumentals zote. Jioni nina session ntakua na access nayo nakuhaidi ntakutumia usijali..
Tuna pambana na u DJ mkuu mradi tupate kwenda toi..Oukay kumbe mkuu unahusika na Mambo za studio!
Sawa ndugu mi nasubiri
Hizo hapo juu beat na acapella japokua beat inaweza kua sio clear sana sabu stems za nyimbo za kibongo kuziachanisha totally kidogo zinaleta usumbufu mno.. Tofauti na za mbele kwenye final touch kuna kipengele waga wanaweka ambacho ni rahisi kukibypass.Oukay kumbe mkuu unahusika na Mambo za studio!
Sawa ndugu mi nasubiri
Dah! Mkuu ahsante sana
Watu wakizikalia zinasukwa upya inatoka ya hivihivi sijui tunazubaa wapi unajua hii kitu inahela ndani yake..😃Hizo hapo juu beat na acapella japokua beat inaweza kua sio clear sana sabu stems za nyimbo za kibongo kuziachanisha totally kidogo zinaleta usumbufu mno.. Tofauti na za mbele kwenye final touch kuna kipengele waga wanaweka ambacho ni rahisi kukibypass.
Mkuu nami nilijaribu hii ya joslin akapela icheki
Anzia dakika ya 1:30 mpaka dakika ya 2:00Kuna tamko lolote la kisheria lililopo? Maana adhabu ziliwekwa na sheria na kanuni zake so somehow inabidi zitenguliwe kwanza au kubadilishwa ili kuepusha madhara mbeleni ya kuwa criminal.
Uko aware na taarifa rasmi iliyofuta au kurekwbisha sheria/kanuni kuruhusu hii kitu?