Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,251
- 34,198
TCRA washapunguza feeYaap ni muhimu kuwa na vyanzo vingine vya mapato kama unategemea YouTube maana ukiangalia unalipia kodi hapa Tanzania TCRA milioni 1 plus ukikatwa na asilimia 30 hapo kama una wafanyakazi hujawalipa... Always nasema tumia YouTube kama platform ya kupeleka traffic kwako siko kutoa trafici kwako kupeleka YuTube