paesulta
JF-Expert Member
- Mar 13, 2009
- 227
- 29
Nilikuwa naperuzi peruzi ndani ya youtube na nikagundua kuwa unapofanya search ya tanzania kikubwa utakachopata katika youtube ni bongo flavas na video za watu binafsi ambazo zinahusiana na utalii,nikimaanisha kuwa watu katika kutembelea kwao mbuga za wanyama basi walichukua baadhi ya video na kuziweka katika youtube.
hakuna official videos zozote ambazo kwa kweli zinatuonyesha kuwa watu serious.hata ukisearch kikwete unachopata ni videos ambazo zimewekwa na watu wa nje na sio watanzania hasa anapokuwa kwenye mikutano ya kimataifa.
Its really a shame kwamba katika kipindi hiki ambapo tunajidai kuwa tunataka kuwa mstari wa mbele kwenye utalii tunashindwa kutumia nafasi hii ya kujitangaza kwa bure kabisa kwa kutumia njia ambayo ni rahisi na ya bure kama mtandao wa youtube.
Idara ya utalii wangeweza kutumia njia hii kwa kujinufaisha na kufikia watu wengi dunia nzima,kwani kama tunavyojua kwa dunia ya sasa kitu cha kwanza mtu anachofanya anaposikia kitu ni kwenda kugoogle, badala ya kupoteza mamilioni ya fedha kwenda kutangaza nchi kupitia kwenye mabasi ya London tumeshindwa kuweka official video ya promortion ya nchi mtandaoni hasa katika youtube amabayo tunajua kuwa mamilioni ya watu wanatembelea kila siku.
Tulichoishia kufanya ni bongo flavas tu. I mean don't get me wrong, i love bongo flava, but we're more than that.kwa wenzetu wakenya unaweza kufuatilaia habari zakila siku zinazorushwa na vituo vya televisoin kwa kutembelea youtube kwani karibu vituo vyote vya tv vya Kenya vina ukurasa wao hapa na kila siku wanaweka video za habari zao kila siku.huwezi kupata hata habari moja si ya ITV wala TBC au kituo chochote cha Bongo mtandaoni, tumebaki kulala tu.
It's time that we wake up.......
hakuna official videos zozote ambazo kwa kweli zinatuonyesha kuwa watu serious.hata ukisearch kikwete unachopata ni videos ambazo zimewekwa na watu wa nje na sio watanzania hasa anapokuwa kwenye mikutano ya kimataifa.
Its really a shame kwamba katika kipindi hiki ambapo tunajidai kuwa tunataka kuwa mstari wa mbele kwenye utalii tunashindwa kutumia nafasi hii ya kujitangaza kwa bure kabisa kwa kutumia njia ambayo ni rahisi na ya bure kama mtandao wa youtube.
Idara ya utalii wangeweza kutumia njia hii kwa kujinufaisha na kufikia watu wengi dunia nzima,kwani kama tunavyojua kwa dunia ya sasa kitu cha kwanza mtu anachofanya anaposikia kitu ni kwenda kugoogle, badala ya kupoteza mamilioni ya fedha kwenda kutangaza nchi kupitia kwenye mabasi ya London tumeshindwa kuweka official video ya promortion ya nchi mtandaoni hasa katika youtube amabayo tunajua kuwa mamilioni ya watu wanatembelea kila siku.
Tulichoishia kufanya ni bongo flavas tu. I mean don't get me wrong, i love bongo flava, but we're more than that.kwa wenzetu wakenya unaweza kufuatilaia habari zakila siku zinazorushwa na vituo vya televisoin kwa kutembelea youtube kwani karibu vituo vyote vya tv vya Kenya vina ukurasa wao hapa na kila siku wanaweka video za habari zao kila siku.huwezi kupata hata habari moja si ya ITV wala TBC au kituo chochote cha Bongo mtandaoni, tumebaki kulala tu.
It's time that we wake up.......