Yonni Jr
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 320
- 271
Kama aliweza kuwachagulia marekan Rais kwann asiweze kumyoosha Muingereza...vita ya sasa si silaha ni mbinuRussia hana ubavu huo wa kumtisha Britain. Naamini wote wanazo Nuclear arsenals na kama wakipigana, Russia asitegemee ushindi kwa sababu Brits anao washirika wengi including USA. I guess hayo ni maneno ya kwenye kanga...